2 Jun 2015

UBATIZO WA MAJI MENGI

 Hapa ni katika kuitimiza haki yote. Atakaye amini na kubatizwa ataokoka
 Mch. akimbatiza katika jina la bwana hii ni baada kuokoka katika mkutano uliofanyika EAGT Sinai
 wakiwa na nyuso za furaha baada ya kubatizwa wakiwa na mwalimu wao wa katikati waliosimama wa darasa la waongofu wapya
Wakiwa katika picha ya pamoja na wachungaji na askofu Mloyi hii ni baada ya kubatizwa