2 Oct 2014

Mkutano wa Injili EAGT Sinai 1/10/2014

Ule moto wa Injili unaoenda sambamba na 'operation' ya kung'oa kila pando lisilopandwa na YAHWE umeendelea jumatano hii tena kwa kasi ya ajabu. Yesu Kristo kupitia mtumishi wake Mchungaji Nikodemu Mwahangila aliendelea kuzivunja ngome za shetani katika mji wa Kigoma na wengi wamemrudia Yesu.
Baadhi ya matukio yaliojiri katika mkutano huu.
Kwaya CGM Sinai wakiimba katika mkutano huu

Kwaya ya E.A.G.T Buhoro kutoka Kasulu wakimwinua Yesu

Kwaya ya E.A.G.T Gungu wakimwimia Yesu katika mkutano huu

Mwimbaji Emanuel Mgogo akiwasili katika viwanja vya mkutano

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bruno Mwandelile akimtukuza Yesu 

Jeshi kwaya kutoka  FFU nao walikuepo kumsifu Mungu

Kwaya ya wenyeji Sinai wakimsifu Mungu kwa njia ya nyimbo

Mwimbaji "TRENI MBOVU" akimwimbia Bwana 

Jukwaa lilikua halitoshi kwa 'TRENI MBOVU' na timu yake

Sehemu ya umati wa wanakigoma waliokusanyika katika mkutano huu

Kwaya ya E.A.G.T Bangwe wakihudumu

Mwimbaji wa kimataifa Emanuel Mgogo akimwimbia Bwana


Mchungaji mwahangila akiimba na wanakigoma kabla ya kuhubiri 



Mathias Mwanyamaki a.k.a Treni mbovu akiimba katika mkutano huu. jukwaa lilikua halitoshii. hebu jionee mwenyewe hapa
Yote haya ni kwa utukufu wa Yesu


Bofya (click) hapo chini kusikiliza sehemu ya mahubiri yaliyohubiriwa leo katika mkutano huu

No comments:

Post a Comment