Kwaya ya EAGT Buhoro kutoka kasulu Wakimsifu Bwana
Jeshi kwaya toka E.A.G.T FFU
Mwaimbaji wa nyimbo za injili Bruno Mwandelile toka Mbeya Akimwimbia Bwana
Kwaya ya E.A.G.T Sinai WAkimwinua Yesu katika mkutano huu
Mama Askofu Mloyi akisalimia mkutano
Mhubiri wa mkutano huu Mchungaji Nikodemu Mwahangila akihubiri
Mchungaji Nikodemu Mwahangila akiwaongoza sala ya toba watu waliokata shauri katika mkutano huu.
Mathias Mwanyamaki a.k.a Treni Mbovu akimsifu Bwana. Barikiwa na kipande cha video hii
No comments:
Post a Comment