1 Oct 2014

Mkutano wa Injili EAGT Sinai 30/09/2014

Moto wa Injili mkoani Kigoma umeendelea kuwaka tena katika siku ya pili ya mkutano mkubwa wa injili unaoendelea katika viwanja vya kanisa la E.A.G.T Sinai Mwanga. Mtumishi wa Mungu mchungaji Nikodemu Mwahangila aliendeleza ile oparesheni ya KUNG'OA KILA PANDO LISILOPANDWA NA YAHWE. Tazama kilichojiri katika mkutano huu katika picha
Kwaya ya EAGT Buhoro kutoka kasulu Wakimsifu Bwana

Jeshi kwaya toka E.A.G.T FFU 

Mwaimbaji wa nyimbo za injili Bruno Mwandelile toka Mbeya Akimwimbia Bwana


Kwaya ya E.A.G.T Sinai WAkimwinua Yesu katika mkutano huu 

Mama Askofu Mloyi akisalimia mkutano

Mhubiri wa mkutano huu Mchungaji Nikodemu Mwahangila akihubiri


Mchungaji Nikodemu Mwahangila akiwaongoza sala ya toba watu waliokata shauri katika mkutano huu.


Mathias Mwanyamaki a.k.a Treni Mbovu akimsifu Bwana. Barikiwa na kipande cha video hii

Bofya hapa kusikiliza sehemu ya mahubiri kutoka kwa mchungaji Nikodemu Mwahangila alipokua akihubiri katika mkutano wa leo.

No comments:

Post a Comment