15 May 2015

YALIYOJILI KATIKA IBADA

Kiongozi wa Praise and worship akiwaongoza waumini kumuabudu Mungu

Waumini waliohudhuria ibada

waumini ibadani

askofu akimkaribisha muimbaji Christopher Mwahangila aimbe katika ibada


Muimbaji Christopher Mwahangila akiimba katika ibada

Waumini wakiimba pamoja na Christopher


waumini wakiwa wamejawa na furaha ya kutosha ibadani

Waimbaji Christopher Mwahangila na Tren mbovu wakiimba

Praise and waorship wakiongoza waumini kumuabudu Mungu abadani

Mzee wa kanisa akitoa matangazo katika ibada

      waimbaji wakimuabudu Mungu


Askofu akitambulisha baraza la wazee wa kanisa

Mama Kiongozi na Jenerali mkuu wa vikosi vya upambanaji katika ulimwengu wa roho

Muhubiri Nicodemus akiimba katika ibada

Ni mama aliyepokea uponyaji toka kwa Yesu akiwa mbele ya waumini na ndugu zake wakimyukuza Mungu

Nicodemus Mwahangila na mdogo wake Christopher Mwahangila wakiimba ibadani

No comments:

Post a Comment