7 Jul 2014

Yaliyojiri mkututano wa CGM jimbo la Kigoma

Leo katika siku ya mwisho ya mkutano mkubwa wa injili hapa Kigoma ulioandaliwa na CGM jimbo la kigoma mambo yalikua moto sana.
Kwaya zilizohudumu ni pamoja na kwaya ya watoto EAGT Sinai, Jeshi kwaya toka FFU, kwaya ya TAG Msufini, Kwaya ya wakinamama Sinai, kwaya ya TAG Buzebazeba, Martha band, na nyingine nyingi.
Mtumishi wa Mungu mchungaji Nicodemus Mwahangila alimalizia kuhubiri katika mkutano huu kwa kufundisha somo la kung'oa mapando ya adui.
Wagonjwa na wenye shida mbalimbali wamefunguliwa kupitia mkutano huu na hakika Yesu Kristo ameonekana akitenda kazi kwa wanakigoma.

Matukio yalivyokua ktika picha.
Askofu Stephen Mloyi akisalimia mkutano

 kwaya ya TAG Msufini wakimsifu Bwana

Martha Band wakihudumu katika mkutano

 Mchungaji Nicodemus Mwahangila (wa kwanza kushoto) muda mfupi kabla ya kusimama madhabahuni
Sehemu ya umati wa wanakigoma waliohudhuria katika  mkutano

Jeshi kwaya kutoka FFU wakimsifu Mungu

 Kwaya ya watoto EAGT Sinai nao walihudumu katika mkutano huu

 watu wakifunguliwa kupitia mkutano huu

mchungaji Mwahangila akihuri katika mkutano huu
  

5 Jul 2014

Yaliyojiri mkutano wa injili CGM jimbo la Kigoma 04/07/2014

Leo katika mkutano wa injili wa CGM jimbo la Kigoma mambo yalikua Moto! Yesu alihubiriwa wazi wazi bila kificho na wanakigoma wote walishuhudia Yesu Kristo akitenda kazi kupitia mtumishi wake Mchungaji Nicodemus Mwahangila.
Kwaya mbali zilihudumu zikiongozwa na Kwaya ya EAGT Sinai Mwanga pamoja na wageni Ebenezer kwaya kutoka Mito ya Baraka na WWI Temeke zote za Dar es salaam. Kwaya nyingine ni pamoja na kwaya ya EAGT Bangwe, treni mbovu, na nyingine nyingi
WAgonjwa na wenyeshida mbalimbali walikutana na Yesu Mtenda miujiza katika mkutano huu.

Ebenezer kwaya toka Mito ya baraka wakimsifu Mungu 

 Kwaya ya WWI Temeke Wakimwimbia Bwana katika mkutano

 Waimbaji wa Treni mbovu nao walikuepo kumtukuza Bwana 
Kwaya ya EAGT Bangwe wakimwimbia Mungu

Umati wa wanakigoma walio na shauku ya kusikia injili ya Yesu Kristo

Mchungaji Nikodemus Mwahangila akihubiri madhabahuni

BARIKIWA NA YESU!!

Yaliyojiri mkutano wa injili CGM jimbo la Kigoma 04/07/2014

Leo katika mkutano wa injili wa CGM jimbo la Kigoma mambo yalikua Moto! Yesu alihubiriwa wazi wazi bila kificho na wanakigoma wote walishuhudia Yesu Kristo akitenda kazi kupitia mtumishi wake Mchungaji Nicodemus Mwahangila.
Kwaya mbali zilihudumu zikiongozwa na Kwaya ya EAGT Sinai Mwanga pamoja na wageni Ebenezer kwaya kutoka Mito ya Baraka na WWI Temeke zote za Dar es salaam. Kwaya nyingine ni pamoja na kwaya ya EAGT Bangwe, treni mbovu, na nyingine nyingi
WAgonjwa na wenyeshida mbalimbali walikutana na Yesu Mtenda miujiza katika mkutano huu.

Ebenezer kwaya toka Mito ya baraka wakimsifu Mungu 

 Kwaya ya WWI Temeke Wakimwimbia Bwana katika mkutano

 Waimbaji wa Treni mbovu nao walikuepo kumtukuza Bwana 
Kwaya ya EAGT Bangwe wakimwimbia Mungu

Umati wa wanakigoma walio na shauku ya kusikia injili ya Yesu Kristo

Mchungaji Nikodemus Mwahangila akihubiri madhabahuni

BARIKIWA NA YESU!!

Mkutano wa injili CGM jimbo la Kigoma

Kanisa la EAGT jimbo la Kigoma limeandaa mkutano mkubwa wa injili wa vijana (CGM) unaoanza tarehe 1/07/2014 hadi 6/07/2014 katika kanisa la EAGT Sinai Mwanga - Kigoma. Mtumishi wa Mungu Mchungaji Nicodemus Mwahangila kutoka Mbeya akishirikiana na maaskofu, wachungaji pamoja na watendakazi wengine wanahudumu.
Kwaya mbalimbali kutoka Dar es salaam, na Kigoma zinahudumu. wagonjwa na wenyeshida mbalimbali wamefunguliwa kupitia jina la Yesu.
Mchungaji Nicodemus Mwahangila