1 Dec 2014

YALIYOJILI KATIKA IBADA YA PAMOJA YA MAKANISA YA EAGT MJINI KIGOMA KATIKA PICHA TAREHE 30/11/2014


Ask. Mloyi akiwaombea waumini baraka baada ya ibada

viongozi wa idara wakisikiliza maombi



waumini pia wakisikiliza maombi walipokuwa wakiombewa na Ask. Mloyi
Kwaya ya EAGT gungu ikihudumu

kwaya ya EAGT FFU ikihudumu


Kiongozi wa ibada hiyo na mafundi mitambo nao hawakuwa nyuma

Ask. Mloyi akifafanua jambo kabla ya kuahirisha ibada hiyo kwa maombi

DR. Mgunda akifundisha
Na DR. Mgunda
Alifundisha neno kutoka kitabu cha Yoh. 13:1 – 8
Akizungumzia tendo la Yesu kuwatawaosha miguu wanafunzi wake kwambatendo hili ilikuwa mila iliyokuwepo kwa wayahudi kipindi hicho.Petroalimwambia Yesu huwezi kunitawadha, na Yesu akamjibu kuwa usipotawadhwa nami utakuwa huna shirika nami.
Aliongeza kusema kuwa, watu wengi hawako tayari kuoshwa kwa sababu ya mitazamo na uelewa wao kuwa tofauti. Vumbi la kiroho limo mioyoni mwa watu na ndio maana hata kwenye ibada mbalimbali au makusanyiko ya Kimungu mahudhurio ni madogo sana.inaonyesha ni jinsi gani watu wanavyohitaji kuoshwa vumbi hilo la kiroho ili waweze kuondokana namitazamo iliyowafunga.
Msemaji alisisitiza kuwa Yesu alisema nisipokutawadha/kuosha huna fungu wala sehemu kwangu,kwa hili alisisitiza umuhimu wa kuwa tayari au kumpa Yesu nafasi ya kukuhudumia.
Ubarikiwe na bwana


Waumini wakifuatilia kwa makini kilichokuwa kikiendelea kwenye ibada hiyo


VIONGOZI WA IDARA MBALIMBALI WAKIFUATILIA KWA MAKINI YALIYOKUWA YAKIENDELEA

Kwaya ya EAGT Sinai ikihudumu katika ibada hiyo
Baadhi ya wachungaji waliohudhuria katika ibada hiyo ya pamoja

Baadhi ya maaskofu wa Jimbo la kigoma Mjini.Kutoka kushoto ni Mch.Douglas Kabogi ambaye ni mwenyeji, katikati ni Ask. Stephen Mloyi na kulia ni Ask mstaafu DR. Mgunda ambaye ndiye alikuwa mnenaji wa neno siku hiyo.

No comments:

Post a Comment