15 May 2015

MATUKIO KATIKA PICHA KANISA LA EAGT SINAI KIGOMA

Kwaya ya watoto wakiimba katika ibada


Kwaya ya watoto wakiimba katika ibada

Majeshi ya Yesu wakiimba sifa na kumtukuza Mugu njuu

Majeshi ya Yesu kazini wakimliza shetani

Kwaya ya Janda wakiimba

Kwaya ya EAGT sinai mwanga wakiimba katika ibada

Mwimbaji mama Daniel akiimba

Mwimbaji mama Daniel akimsifu Mungu

Waimbaji wa eagt sinai wakiimba

Mwimbaji Tren mbovu na kundi lake wakiwa tayari kuimba

Tren ,mbovu akiliongoza kundi lake kuimba

Waumini wakiwa wamesimama wakimsifu Mungu

MR Baraka akiwa kazini wakati wa kusifu

Askofu akizungumza jambo kwa wauminio

Mwimbaji Christopher Mwahangila akiimba

Mwimbaji Bruno akiimba
Mwimbaji Bruno akiongoza waumini kumsifu Mungu huku akiimba

Janda kwaya wakiimba katika ibada hiyo

YALIYOJILI KATIKA IBADA

Kiongozi wa Praise and worship akiwaongoza waumini kumuabudu Mungu

Waumini waliohudhuria ibada

waumini ibadani

askofu akimkaribisha muimbaji Christopher Mwahangila aimbe katika ibada


Muimbaji Christopher Mwahangila akiimba katika ibada

Waumini wakiimba pamoja na Christopher


waumini wakiwa wamejawa na furaha ya kutosha ibadani

Waimbaji Christopher Mwahangila na Tren mbovu wakiimba

Praise and waorship wakiongoza waumini kumuabudu Mungu abadani

Mzee wa kanisa akitoa matangazo katika ibada

      waimbaji wakimuabudu Mungu


Askofu akitambulisha baraza la wazee wa kanisa

Mama Kiongozi na Jenerali mkuu wa vikosi vya upambanaji katika ulimwengu wa roho

Muhubiri Nicodemus akiimba katika ibada

Ni mama aliyepokea uponyaji toka kwa Yesu akiwa mbele ya waumini na ndugu zake wakimyukuza Mungu

Nicodemus Mwahangila na mdogo wake Christopher Mwahangila wakiimba ibadani

14 May 2015

YALIYOJILI MKUTANO WA INJILI EAGT SINAI KIGOMA

 Mama mchungaji Isack Nchunga akiimba



Mamia ya watu waliohudhuria mkutano wakiwa wanaombewa

Huyu ni kijana aliyekuwa akisumbuliwa na kuteswa na shetani akipokea Uponyaji wake

Praise and Worship team wakimsifu Mungu

WINNERS wakiimba

EAGT SINAI MWANGA wakiimba katika mkutano
Gungu FPCT wakiimba kwenye mkutano huo

Buhoro kwaya wakiimba

TREN mbovu akiimba 

MWimbaji tren mbovu akiimba kwa staili nyingi mpaka miti akiimbisha

WANAFUNZI wakiwa makiniu huku wakiombewa

Kamati ya maandalizi ya mkutano,kutoka kusho ni mchungaji Steven Mloy,akifuatiwa na mwenyekiti wa mkutano Emmanuel Lusama akifuatiwa na kaimu mwenyekiti Moshi Laurent akifuatiwa na katibu wao Jeremiah Mwandi,akifuatiwa na muhasibu Eshi Mbise na Mshauri wao Mama Yasinn

Mwimbaji tren mbovu akiimba

Mwimbaji tren mbovu akiimba


Gungu fpct wakiimba kwenye mkutano

                KYGC wakiimba katika mkutano
WINNERS wakiimba kwa mkutano